Social Icons

Pages

Sunday, October 4, 2015

Kundemba yaanza vyema ligi daraja la pili yaifunga Rascazone 3-2



Timu ya kundemba leo imeanza mechi yake ya kwanza kwa ushindi wa magoli 3-2 Kundemba ilicheza na timu ya ras cazone ktk uwanja wa amaan mida ya 8:00 mchana magoli ya kundemba yalifungwa na sadi mgeni ambae kwa leo alikua captain yeye aweka kimiani magoli 2 yte kwa njia ya penalti na la 3 lilifungwa na ali abdalla umaarufu dume mnamo dakika za 85 ambaye alitokea bench


Mfungaji wa Goli la tatu Ali Abdalla 'dume' akishangilia baada uya kuwatungua Rascazone katika dakika ya 85