Timu ya kundemba leo imeanza mechi yake ya kwanza kwa ushindi wa magoli 3-2 Kundemba ilicheza na timu ya ras cazone ktk uwanja wa amaan mida ya 8:00 mchana magoli ya kundemba yalifungwa na sadi mgeni ambae kwa leo alikua captain yeye aweka kimiani magoli 2 yte kwa njia ya penalti na la 3 lilifungwa na ali abdalla umaarufu dume mnamo dakika za 85 ambaye alitokea bench
Mfungaji wa Goli la tatu Ali Abdalla 'dume' akishangilia baada uya kuwatungua Rascazone katika dakika ya 85