Kikosi kamili cha timu ya Kundemba kilichomenyana na timu ya Amani Fresh hapo uwanja wa Jeshi Migombani. Kundemba ilipoteza mchezo huu kwa kufngwa bao 1-0
Kikosi kamili cha timu ya Amani Fresh ambacho kiliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Kundemba 1-0 katika chezo wa ligi daraja la pili tarehe 01/12/15
Wachezaji wa Kundemba wakienda mapumzikoni baada ya kumalizika kipndi cha kwanza huku matokea yakiwa bado no 0-0
Wachezaji wa Amani Fresh wakienda mapumzikoni baada ya kumalizika kipndi cha kwanza huku matokeo yakiwa bado no 0-0
No comments:
Post a Comment