Social Icons

Pages

Sunday, December 13, 2015

Kundemba V/S Amani Fresh


 Kikosi kamili cha timu ya Kundemba kilichomenyana na timu ya Amani Fresh hapo uwanja wa Jeshi Migombani. Kundemba ilipoteza mchezo huu kwa kufngwa bao 1-0

 Kikosi kamili cha timu ya Amani Fresh ambacho kiliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Kundemba 1-0 katika chezo wa ligi daraja la pili  tarehe 01/12/15


 Wachezaji wa Kundemba wakienda mapumzikoni baada ya kumalizika kipndi cha kwanza huku matokea yakiwa bado no 0-0

  Wachezaji wa Amani Fresh wakienda mapumzikoni baada ya kumalizika kipndi cha kwanza huku matokeo yakiwa bado no 0-0

No comments:

Post a Comment