Social Icons

Pages

Sunday, February 28, 2016

Kundemba yaichapa Al Hilal 2-0

 Timu ya Kundemba imeendeleza kurudumu lake la ushindi wa mechi ya 3 mfululizo baada ya kuwachabanga al Hilal mabao 2-0 magoli jana 2/02/2016 hapo Uwanja Amaan ambayo yamewekwa kiamiani na Sadi Ambani Kapteni na Abdalla umaarufu dume.



No comments:

Post a Comment