Timu ya Kundemba imeendeleza kurudumu lake la ushindi wa mechi ya 3 mfululizo baada ya kuwachabanga al Hilal mabao 2-0 magoli jana 2/02/2016 hapo Uwanja Amaan ambayo yamewekwa kiamiani na Sadi Ambani Kapteni na Abdalla umaarufu dume.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment