Social Icons

Pages

Sunday, October 4, 2015

Kundemba yaanza vyema ligi daraja la pili yaifunga Rascazone 3-2



Timu ya kundemba leo imeanza mechi yake ya kwanza kwa ushindi wa magoli 3-2 Kundemba ilicheza na timu ya ras cazone ktk uwanja wa amaan mida ya 8:00 mchana magoli ya kundemba yalifungwa na sadi mgeni ambae kwa leo alikua captain yeye aweka kimiani magoli 2 yte kwa njia ya penalti na la 3 lilifungwa na ali abdalla umaarufu dume mnamo dakika za 85 ambaye alitokea bench


Mfungaji wa Goli la tatu Ali Abdalla 'dume' akishangilia baada uya kuwatungua Rascazone katika dakika ya 85









No comments:

Post a Comment